Header

UKO MAREKANI KAMA MHAMIAJI?… SOMA HILI KWA MAKINI!

 


πŸ›‘ Makosa Makubwa ya Kifedha Wanaofanya Wahamiaji Wengi
…na yanaweza kuharibu kabisa maisha yako ya baadaye!

πŸ“Œ Je, unajikita sana kwenye kupata uraia au Green Card hadi unasahau mustakabali wako wa kifedha?
Wahamiaji wengi hufika Marekani wakiwa na ndoto ya maisha bora—lakini hapa ndipo wengi hujikwaa:

🚨 Wanatumia miaka mingi wakihangaika na nyaraka za uhamiaji… bila kujifunza mambo muhimu kuhusu fedha.

Haya ndiyo mara nyingi hutokea:

❌ Unapoteza miaka 5–15 ukiwa na wasiwasi kuhusu vibali na hadhi ya kisheria.
❌ Hujifunzi kuhusu alama ya mkopo, uwekezaji, au jinsi mfumo wa kifedha wa Marekani unavyofanya kazi.
❌ Unaingia kwenye madeni—mikopo ya wanafunzi, magari, kadi za mkopo, au hata rehani za nyumba.
❌ Unafikiri kuwa 401(k) pekee inatosha kwa ajili ya kustaafu (ukweli: haitoshi).

Lakini haipaswi kuwa hivyo.

Badala yake, fanya yafuatayo:

✅ Anza kujifunza elimu ya fedha tangu siku ya kwanza unapofika Marekani.
✅ Elewa vyema jinsi alama ya mkopo, akiba, na uwekezaji vinavyofanya kazi.
✅ Tumia mkopo kwa hekima—si kwa kuonyesha hadhi mbele ya watu.
✅ Nenda mbali zaidi ya 401(k)—jifunze kuhusu Roth IRA, IUL, na njia zingine bora za kustaafu.
✅ Fanya pesa ikufanyie kazi—badala ya wewe kuifanyia kazi muda wote.

πŸ’‘ Maisha yako Marekani hayapaswi kuwa ya kusurvive tu—bali kustawi na kufanikiwa.

🎯 Pata Ushauri Binafsi wa Kifedha wa Saa 2 BURE
Na Ernest B. Makulilo (EBM) – Mtaalamu wa Uhamiaji & Mshauri wa Fedha Aliyesajiliwa

πŸ‘‰ Jaza fomu hii:
https://ebmscholars.com/FINANCE/

πŸ“§ Au tuma barua pepe: ebm@ebmscholars.com

Usisubiri hadi uchelewe. Mustakabali wako wa kifedha unaanza sasa.

Post a Comment

0 Comments